Monday, July 9, 2012

SERIKALI YA WANAFUNZI GALANOS 2012-13

Waalimu wametilia mkazo juu ya Serikali mpya ya Wanafunzi kwa kuogopa viongozi wasio bora... Hii imeoneshwa wazi baada ya vikao mbalimbali kufanyika na majadiliano ana kwa ana na Viongozi wastaafu ili waweze kutambua nani anaefaa kuchukua fomu za maombi, aidha uchaguzi huo ambao utafanyika wiki ijayo umejumuishwa na usimamizi mkali juu ya waombaji hao kwa kuzingatia sera zenye maadili zisizo na kashfa wala matusi kwa Waalimu au Serikali kwa ujumla.....

No comments:

Post a Comment